New Track kutoka kwa Member wa iliyokuwa East Coast Team toka Upanga, King Crazy GK amevunja ukimya kwa kuachia ngoma mpya ambayo amewashirikisha Venessa Mdee, Rawdgers na J-Hoox inayokwenda kwa Jina la Shukrani. Ngoma hii imetoka Juzi baada ya Kimya Kirefu toka kwa Mkongwe huyu na Imefanywa chini ya Uangalizi wa Producer John Mahundi.
Ukitaka kuisikia/Kuipakua Bofya hii link hapa chini.
Download MP3:

