"Create Memories, One Joint @ a Time” “Unleash the Soundtrack to Your Life” “Where Music Meets Magic” “Elevating Vibes, Amplifying Experience with almost every gerne of music. Lets get it.
Nikki Mbishi, also known as Unju Bin Unux, is a prominent Tanzanian Hip Hop artist and a vital member of the Kikosi Kazi Group, proudly represented the TAMADUNI MUZIK family. He just dropped an incredible track titled “I’M NOT YOUR ROLE MODEL,” part of his much-anticipated album SHAIRIKA KIBISHI, which was released on March 5th, 2024. Don’t miss out on this standout piece! Enjoy!
P Mawenge, the talented Tanzanian Hip Hop artist and lyricist, is back with a fresh track, officially released on October 17, 2024. The song is titled BAWABA, which stands for “Bahili wa Bata” — essentially a playful way to describe someone who’s stingy when it’s time to spend money and have a good time.
“This mix features a vibrant selection of 90’s throwback music from Tanzania, showcasing Bongo Music, Bongo Flava, and Bongo Hip Hop. Please note that nothing is for sale here; all mixes and shows are for promotional purposes only. Thank you for listening, and enjoy the great music!”
TRACKLIST:
Kwanza Unit – Nata
GWM Ft Mr 2 – Yamenikuta
BDP – Njoo Tulifinye Pala
GK – 97
Ugly faces – Wapambe Nuksi
GWM – Kipe Kitu
De-Plow-Ma-TZ – Piga Bao
De-Plow-Ma-TZ Ft 2 Proud – Maisha
Mr 2 – Deiwaka
10.Hashim Dogo – Shadow of the Dark Destiny (Bongo Psychological)
Hashim Dogo – I smoke the MC
Hard Blasters Crew – Time for Action
Hard blasters Crew – Pata Potea
Sos B – KKZ
Bantu Pound – Bado Nakutesa
Saigon Treach – Take A Ride
Mr 2 Ft Lady Jaydee – Mambo Ya Fedha
Lady Jaydee Ft D Rob – Mpenzi Wangu
Unique Sisters Ft Hashim Dogo – Sikiliza
GWM – Kivyetu Vyetu
Hard Blasters Crew – Mabishoo
Kwanza Unit – Wataka Huku
Kwanza Unit – Itapobidi
Here is the link below for this Mix and don’t forget to share it with your friends and family.
New Track kutoka kwa Member wa iliyokuwa East Coast Team toka Upanga, King Crazy GK amevunja ukimya kwa kuachia ngoma mpya ambayo amewashirikisha Venessa Mdee, Rawdgers na J-Hoox inayokwenda kwa Jina la Shukrani. Ngoma hii imetoka Juzi baada ya Kimya Kirefu toka kwa Mkongwe huyu na Imefanywa chini ya Uangalizi wa Producer John Mahundi.
Ukitaka kuisikia/Kuipakua Bofya hii link hapa chini.
Mwanamuziki anayewakilisha Mziki wa Kizazi kipya ndani “Dullayo”, amekuja na Ngoma Mpya akimshirikisha Mkongwe “Prof Jay” na Track iliyopewa jina la “Moko moko” Ngoma hii imefanywa katika Studio za Mwanalizombe chini ya Producer Mashuhuri “Villy” Enjoy ngoma hii na Tutoe support kwa wasanii wetu wa Miziki ya aina Zote ndani ya Bongo. Bofya hii link hapo chini Kuisikia na Kuipakua ngoma hii.
Masela wangu, Wana Wote na Wapenzi wa Bongo Hip hop Music, I did a Mix to End This year 2014. Basi hii hapa Non-Stop Mix kwa Decemeber hii tayari kuingia Mwaka Mpya. Merry Christmas and Happy New year to Everybody. Fuata Link hii kusikiliza Mix hii. STAY BLESSED.
Kile kichupa kipya tulichokuwa tukikisubiria kwa Hamu toka kwa General Digiriii aka Jcb ft Ben Pol titled “I don’t care” kimetoka na ndio hiki hapa. Fanya kukicheck na kusambazia wana wote wanao support hip-hop ya Bongo.
“Big 4 the Geez” ukipenda Unaweza Kumuita “Mwanamadharau” ama wengi walimuita “Geez Mabovu Jina kamili “Ahmed Ally Utepe” alikuwa ni Msanii wa Kizazi kipya aliyefanya mziki wa hip hop toka “Dirty South” Iringa, Tanzania. Geez alifariki dunia siku ya Tarehe 12 Mwezi wa 11 Mwaka huu baada ya kuumwa kwa muda mrefu. Wakati wa uhai wake alikuwa ni kati ya wasanii wachache ambao waliitendea haki Hip hop nchini Tanzania.
Haukujalisha Mziki huu ulimlipa kiasi gani katika soko la Muziki wa kizazi kipya nje na ndani ya Bongo, Mchizi aligangamaa na kuendelea kufanya kazi yake ya Sanaa tokana na Mapenzi ya sanaa na kazi yake. Mtoto huyu wa kiume hakuyumbishwa tokana na air-time rediaoni ama kuandikwa mara kwa mara katika blogs ama kutangazwa na vyombo vya habari kwa nia ya kumpatia kipato zaidi, alipiga moyo konde ingawa ilikuwa ni ngumu ila hakufa moyo. Alikuwa na Urafiki wa karibu na wasanii toka Chemba Squad pia wasanii kadhaa toka Arachuga A-town city.
Mimi pia nilikuwa ni shabiki mkubwa wa kazi zake na nilivutiwa zaidi na Style yake ya Kughani pamoja na sauti yake nzito ukilinganisha na umbo lake, pia mashairi yake ambayo yalikuwa ni ya kitaa zaidi yalikuwa yamesheheni aliweza ujumbe ulioeleweka kirahisi pindi ukimtegea sikio. Siku 3 baada ya Kifo chake nilipokea Maombi mengi toka kwa washabiki wake wakiniomba nifanye (Non-Stop) Mix ambayo itaenzi mziki wa GEEZ MABOVU nami sikufanya ajizi. Basi kama wewe ni Mshabiki wake wa kweli na ungependa kuendelea kumkumbuka Fanya kubofya link hii hapa chini usikilize/uipakue Mix hii Bure kama kumbukumbu ya kazi za Geez. #ForTheLoveOfHiphop #GeezMabovuTributeMix #RIPDirtySouthDawg
Mashabiki wote wa Bongo Hip hop, hii ni zawadi mpya toka kwa The GENERAL himself, toka katika Kundi la watengwa. This time amekuja na GHETTO LOVE joint, ambayo itakufanya moyo wako ukusisimuke. JCB ameachia “Mtoto Mkali” leo Rasmi kwa wana wote na wapenzi wa Hip hop baada ya muda kidogo maana yupo mbio na shughuli zake za maisha. Ngoma ni kali, Support Bongo Hip hop kama wewe ni mpenzi wa kweli wa huu mziki. Click link hii kuweza kuusikiliza na kuupakua hapa chini: