
Tokana na Malalamiko toka kwa wasikilizaji wa Mixes na Wapenzi wa Mziki wa Bongo kuwa nabagua kufanya Mixes za Miziki mingine na Kufanya Bongo Hip hop Mixes peke yake ama Sana. Nimesikia Kilio chenu na Nawaletea NEW Mix ya “BONGO FLAVA” kwa Mwezi “MAY” Mwaka 2014 kwa ajili yenu. Nyimbo zote humu ni Mpya. Enjoy
