Kwa wale watu wangu tunao support Mziki wa Bongo hasa Bongo Hip hop Check out New Banger toka Kwa MWANAHAPA. Ngoma hii ambayo ni ya Ukweli ina ujumbe mzito katika jamii yetu inaitwa BWANA MDOGO Chini ya Uangalizi wa PRODUCER: SALLII TEKNIKS na Kufanyiwa MIXING na JAY ADEAN Katika Studios za ROCK TOWN RECORD.
Bofya hii link hapa chini Uisikie/Uipakue. Enjoy!

Stream this Audio here:
Download MP3:

