Mwanamuziki anayewakilisha Mziki wa Kizazi kipya ndani “Dullayo”, amekuja na Ngoma Mpya akimshirikisha Mkongwe “Prof Jay” na Track iliyopewa jina la “Moko moko” Ngoma hii imefanywa katika Studio za Mwanalizombe chini ya Producer Mashuhuri “Villy” Enjoy ngoma hii na Tutoe support kwa wasanii wetu wa Miziki ya aina Zote ndani ya Bongo. Bofya hii link hapo chini Kuisikia na Kuipakua ngoma hii.
Download MP3:


