Straight out of +254 Country Code,a music group based in Nairobi’s Eastland area, Wakadinali released a brand new banger titled “Heartbreaker,” Enjoy the vibes!

Stream and Download here, for promotion use only.

New and Old videos will be shared here.
Straight out of +254 Country Code,a music group based in Nairobi’s Eastland area, Wakadinali released a brand new banger titled “Heartbreaker,” Enjoy the vibes!

Stream and Download here, for promotion use only.

Nikki Mbishi, also known as Unju Bin Unux, is a prominent Tanzanian Hip Hop artist and a vital member of the Kikosi Kazi Group, proudly represented the TAMADUNI MUZIK family. He just dropped an incredible track titled “I’M NOT YOUR ROLE MODEL,” part of his much-anticipated album SHAIRIKA KIBISHI, which was released on March 5th, 2024. Don’t miss out on this standout piece! Enjoy!

Download and stream this song here:

P Mawenge, the talented Tanzanian Hip Hop artist and lyricist, is back with a fresh track, officially released on October 17, 2024. The song is titled BAWABA, which stands for “Bahili wa Bata” — essentially a playful way to describe someone who’s stingy when it’s time to spend money and have a good time.

Download MP3:

“This mix features a vibrant selection of 90’s throwback music from Tanzania, showcasing Bongo Music, Bongo Flava, and Bongo Hip Hop. Please note that nothing is for sale here; all mixes and shows are for promotional purposes only. Thank you for listening, and enjoy the great music!”
TRACKLIST:
Here is the link below for this Mix and don’t forget to share it with your friends and family.
Mwanamuziki anayewakilisha Mziki wa Kizazi kipya ndani “Dullayo”, amekuja na Ngoma Mpya akimshirikisha Mkongwe “Prof Jay” na Track iliyopewa jina la “Moko moko” Ngoma hii imefanywa katika Studio za Mwanalizombe chini ya Producer Mashuhuri “Villy” Enjoy ngoma hii na Tutoe support kwa wasanii wetu wa Miziki ya aina Zote ndani ya Bongo. Bofya hii link hapo chini Kuisikia na Kuipakua ngoma hii.
Download MP3:

“Big 4 the Geez” ukipenda Unaweza Kumuita “Mwanamadharau” ama wengi walimuita “Geez Mabovu Jina kamili “Ahmed Ally Utepe” alikuwa ni Msanii wa Kizazi kipya aliyefanya mziki wa hip hop toka “Dirty South” Iringa, Tanzania. Geez alifariki dunia siku ya Tarehe 12 Mwezi wa 11 Mwaka huu baada ya kuumwa kwa muda mrefu. Wakati wa uhai wake alikuwa ni kati ya wasanii wachache ambao waliitendea haki Hip hop nchini Tanzania.
Haukujalisha Mziki huu ulimlipa kiasi gani katika soko la Muziki wa kizazi kipya nje na ndani ya Bongo, Mchizi aligangamaa na kuendelea kufanya kazi yake ya Sanaa tokana na Mapenzi ya sanaa na kazi yake. Mtoto huyu wa kiume hakuyumbishwa tokana na air-time rediaoni ama kuandikwa mara kwa mara katika blogs ama kutangazwa na vyombo vya habari kwa nia ya kumpatia kipato zaidi, alipiga moyo konde ingawa ilikuwa ni ngumu ila hakufa moyo. Alikuwa na Urafiki wa karibu na wasanii toka Chemba Squad pia wasanii kadhaa toka Arachuga A-town city.
Mimi pia nilikuwa ni shabiki mkubwa wa kazi zake na nilivutiwa zaidi na Style yake ya Kughani pamoja na sauti yake nzito ukilinganisha na umbo lake, pia mashairi yake ambayo yalikuwa ni ya kitaa zaidi yalikuwa yamesheheni aliweza ujumbe ulioeleweka kirahisi pindi ukimtegea sikio. Siku 3 baada ya Kifo chake nilipokea Maombi mengi toka kwa washabiki wake wakiniomba nifanye (Non-Stop) Mix ambayo itaenzi mziki wa GEEZ MABOVU nami sikufanya ajizi. Basi kama wewe ni Mshabiki wake wa kweli na ungependa kuendelea kumkumbuka Fanya kubofya link hii hapa chini usikilize/uipakue Mix hii Bure kama kumbukumbu ya kazi za Geez. #ForTheLoveOfHiphop #GeezMabovuTributeMix #RIPDirtySouthDawg

Bongo Hip hop Mix June 2014 ©️ DJ NGOMANAGWA
For individuals who have a deep appreciation for quality hip hop music, particularly the boom bap style, you have arrived at the perfect destination. The mix titled “Bongo Hip Hop Mix June 2014,” curated by DJ Ngomanagwa, was uploaded a decade ago. I have chosen to re-upload it due to the previous link becoming inactive. Immerse yourself in the vibrant sounds of Tanzanian hip hop and please remember to share your thoughts in the comments section.