Bongo Radio Throwback Monday Show June 2nd 2014 Part 1(C)Ngomanagwa.
Hii ni Show ya Jana yenye Ngoma za Zamani za Afrika Mashariki. Hili ni Saa la Kwanza la Show na Lisaa la Pili nitali-upload Alhamisi hii. Enjoy Good Music and Show, Stay Blessed.
New and Old videos will be shared here.
Bongo Radio Throwback Monday Show June 2nd 2014 Part 1(C)Ngomanagwa.
Hii ni Show ya Jana yenye Ngoma za Zamani za Afrika Mashariki. Hili ni Saa la Kwanza la Show na Lisaa la Pili nitali-upload Alhamisi hii. Enjoy Good Music and Show, Stay Blessed.
Oldskool Bongo Finest May 2014 (C)Ngomanagwa.
Hii Hapa ni Mix Fupi yenye ngoma chache ambazo ziliwahi kuvuma na moja mbili adimu. Kwenye hii Mix utasikia wasanii na makundi kama Hard blasters, Kwanza Unit, Deplowmatz, Suma G na Hashim Dogo. Ukipenda Unaweza kuisikiliza na Kuishusha HAPA>>>http://hu.lk/guz6bejj01z4

Tokana na Malalamiko toka kwa wasikilizaji wa Mixes na Wapenzi wa Mziki wa Bongo kuwa nabagua kufanya Mixes za Miziki mingine na Kufanya Bongo Hip hop Mixes peke yake ama Sana. Nimesikia Kilio chenu na Nawaletea NEW Mix ya “BONGO FLAVA” kwa Mwezi “MAY” Mwaka 2014 kwa ajili yenu. Nyimbo zote humu ni Mpya. Enjoy
Bongo Radio Throwback Monday Show May 12th 2014 (C)Ngomanagwa.

Kama Ungependa kuisikiliza ama Kuidownload Show Ingia hapa>>>http://hu.lk/7yn80h1fk2kg
Karibuni wale wote wenye Kiu ya Mawe mapya ya Bongo Hip hop ambayo yamo katika hii Non-Stop Mix yenye Ndonga za Ukweli zilizotoka hivi karibu pamoja na moja mbili zilizotoka … Continue reading (Audio) New Bongo Hip hop Mix April 2014 (C)Ngomanagwa
Hii Mix ina Ngoma zilizoachiwa ndani ya Bongo (Tanzania) mwishoni mwa mwaka Jana na Nyingi ni za Mwaka huu. Katika hii Mix utawasikia wasanii kama Umbwa Mzee aka Chindo, Nikki … Continue reading “DJ Mix” Bongo Hip hop Mix Feb 2014 (C)Ngomanagwa
For those who missed the Show LIVE on Bongo Radio with the First hour of Old school Tanzanian Music. Enjoy good Music and Stay Blessed.